Product Price Quantity Subtotal
× PAPPER SHREDDER shredder ya kuchanachana documents au karatasi zisizo hitajika usichane karatasi kwa mikono unachafua mazingira jaman hii inakurahisishia kazi yako ya kuchana makaratasi au documents ambazo hazítakiwi kuonekana Watts 150 Bei 25,000 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road karibu na Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Paper shredder
2 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh50,000.00
× Dehydrator Unawezakaushia vyakula na matunda mbalimbali kwa haraka Zaid inatumia umeme Brand cosori from Germany Watts 500 Food Dehydrator
1 x Sh120,000.00
Sh120,000.00
Sh120,000.00
× Waffle Maker Kwa bei ya ofa tuendele kuweka oda Tengeneza waffles ukiwa nyumban kwa ajili ya familia yako wafanye wanao kuwa na furaha asubuh wanapo amka na kukuta delicious food mezan kila wakipendacho watoto ni muhimu sana kwa familia Watts 1400 Brand milla home from Germany Bei 35,000 #0686979377 #0757252557 Tupo Mikochen B Mwai Kibak Road pembeni ya Nakiete pharmacy #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Waffle Maker
2 x Sh35,000.00
Sh35,000.00
Sh70,000.00
× Scooter Hii unaendesha sehem yoyote inayofaa na ni salama kwa mtoto,hii brake yake ni ya nyuma unakanyaga kwa mguu tu! Inabeba maximum kg 50 #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliaTz Scooter
1 x Sh50,000.00
Sh50,000.00
Sh50,000.00
× Slow Cookers Slowly cooking hii kama hauna haraka ya kupika ni nzur sana unabandika chakula chako kinaiva taratibu, unweza bandika chakula na kuondoka kwenda kazin ukirud unakuta kipo tayr ni kula tu Watts 230 #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliatz Slow Cookers
1 x Sh80,000.00
Sh80,000.00
Sh80,000.00
× SEWING MACHINE Machine ndogo ya kushona nguo, ni kwa matumizi ya nyumban tu jaman usitembee na nguo iliyochanika, shona nguo yako mwenyewe kumbukeni kuna nguo zingine haziendi kwa fundi zile nguo za ndani kwaiyo ukipata machine kama hii itakisaidia kuzitengeneza nguo zako Hata kiraka unaweka tu Inatumia adapter na kikanyagio kimoja #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliatz Sewing Machine
1 x Sh110,000.00
Sh110,000.00
Sh110,000.00
× Tower Fan Fan zenye ubara mzuri na zisio na ubari mkali wa kuumiza kifua, zinafaa sana kwa watoto wadogo kulinda ya wasipata athar ya kifua ni nzur sana hii ipo moja tu Bei 80,000 #0686979377 #0757252557 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaaliaTz Tower Fan
1 x Sh180,000.00
Sh180,000.00
Sh180,000.00
× Stainless Steel flowers vessel Vessel za maua pendezesha nyumba yako kwa kuweka maua yako hapo kitu amazing kabisa hiz zinauzwa kwa mbili kama zilivyo hapo na zipo hiz tu wahi uwe wa kwanza kuzipata Stainless Steel Flowers Vessel
1 x Sh40,000.00
Sh40,000.00
Sh40,000.00
× Electric Table Grill Grill ambayo ni rahis kuitumia, unaweza kuchoma nyama, samaki, kuku pia hii grill unaweza kufanya toast ya mkate kwa haraka bila kupoteza mda ni nzur sana ni mpya kabisa lakin imevunjika kwenye mkono wake Brand Raven Watts 900 #0686979377 #0757252557 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaaliaTz Electric Table Grill
1 x Sh80,000.00
Sh80,000.00
Sh80,000.00
× EXTRACTOR JUICER Kwa wanaopenda juice ya karoti, apple , tango nk hii ndo majibu ya utengenezaji wa juice yako safi kabisa yenye ladha nzuri ya matunda hii huweki maji hata kidogo ni nzur sana Brand sencor Watts 600 Extractor Juicer
1 x Sh90,000.00
Sh90,000.00
Sh90,000.00
Cart totals

Cart totals

Subtotal Sh870,000.00
Shipment

Shipping to Dar es Salaam.

Total Sh870,000.00