Product Price Quantity Subtotal
× Vacuum Cleaner Hii inavuta mavumbi kwenye carpet, mazulia, madirisha ya wavu inafilter na tank la kuhifadhia mavumbi kwa mda litakapo jaa unafungua na kwenda kutupa ni nzur sana na powerful Watts 1800 #0686979377 #0757252557 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Vacuum Cleaner
1 x Sh200,000.00
Sh200,000.00
Sh200,000.00
× WATER PURIFIER chujio la maji, linachuja maji yasio safi kuwa maji safi kwa ajili ya kutumia kunywa Hii unatumia badala ya kuchemsha maji basi unayachuja tu kisha unakunywa maji yakiwa tayr ni masafi. Water Purifier
2 x Sh13,000.00
Sh13,000.00
Sh26,000.00
× Electric kettle Jaman jaman majag yamekuja mazur mnooo mzigo mpya yapo aina nyingi tofauti kwa bei ile ile ya ofa, hata majag yapo mapya na used Watts 2200 Electric Kettle
1 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh25,000.00
× Hand Mixer Usipata tabu kutumia nguvu nyingi kuchanganya unga wa cake na mwiko tumia machine hii itakayokirahisishia kazi yako kwa haraka pia inasaidia usitumie muda mwingi zaid kwa bei nzur kabisa hiz zipo chache sana jaman kama ulikosa sasa zipo dukan Brand hoffen Watts 300 #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Hand Mixer
1 x Sh50,000.00
Sh50,000.00
Sh50,000.00
× Waffle Maker Kwa bei ya ofa tuendele kuweka oda Tengeneza waffles ukiwa nyumban kwa ajili ya familia yako wafanye wanao kuwa na furaha asubuh wanapo amka na kukuta delicious food mezan kila wakipendacho watoto ni muhimu sana kwa familia Watts 1400 Brand milla home from Germany Bei 35,000 #0686979377 #0757252557 Tupo Mikochen B Mwai Kibak Road pembeni ya Nakiete pharmacy #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Waffle Maker
1 x Sh35,000.00
Sh35,000.00
Sh35,000.00
× Rice cooker inapika wali na steaming mbogamboga ni nzuri sana lita 1.8 watts 700 Rice cooker 1.8 liter
1 x Sh75,000.00
Sh75,000.00
Sh75,000.00
× Stainless Steel flowers vessel Vessel za maua pendezesha nyumba yako kwa kuweka maua yako hapo kitu amazing kabisa hiz zinauzwa kwa mbili kama zilivyo hapo na zipo hiz tu wahi uwe wa kwanza kuzipata Stainless Steel Flowers Vessel
1 x Sh40,000.00
Sh40,000.00
Sh40,000.00
× Meal Maker/Red Copper Meal Maker/Red Copper
1 x Sh10,000.00
Sh10,000.00
Sh10,000.00
× SEWING MACHINE Machine ndogo ya kushona nguo, ni kwa matumizi ya nyumban tu jaman usitembee na nguo iliyochanika, shona nguo yako mwenyewe kumbukeni kuna nguo zingine haziendi kwa fundi zile nguo za ndani kwaiyo ukipata machine kama hii itakisaidia kuzitengeneza nguo zako Hata kiraka unaweka tu Inatumia adapter na kikanyagio kimoja #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliatz Sewing Machine
2 x Sh110,000.00
Sh110,000.00
Sh220,000.00
× COFFEE MACHINE inatengeneza kahawa nyeusi,inasaga mbegu za kahawa pia inatumia kahawa iliyosagwa tayar(unga wa kahawa) Brand BEEM Watts 820 Coffee Maker
1 x Sh45,000.00
Sh45,000.00
Sh45,000.00
× Deep fryer Kaangaa chips, nyama, kuku, ndizi, maandazi na hii deep fryer inatumia mafuta, hii inakurahisishia kazi za jikon na pia kuokoa mda wa kukaa jikon Brand George home Watts 1800 #0686979377 #0757252557 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaaliaTzq Deep Fryers
1 x Sh50,000.00
Sh50,000.00
Sh50,000.00
× Deep fryer Kaangaa chips, nyama, kuku, ndizi, maandazi na hii deep fryer inatumia mafuta, hii inakurahisishia kazi za jikon na pia inaokoa mda wa kukaa jikon kwa mda mrefu Brand Milla home Watts 1800 Deep Fryer
1 x Sh50,000.00
Sh50,000.00
Sh50,000.00
Cart totals

Cart totals

Subtotal Sh826,000.00
Shipment

Shipping to Dar es Salaam.

Total Sh826,000.00