Product Price Quantity Subtotal
× Microwaveoven Microwaveoven unapasha chakula chochote pia unaweza choma nyama ndizi, soup, samaki, mboga za majani na vingine vingi zaid pia ni auto cook Lita 20 Watts 800 Microwave
1 x Sh45,000.00
Sh45,000.00
Sh45,000.00
× Vacuum Cleaner Hii inavuta mavumbi kwenye carpet, mazulia, madirisha ya wavu inafilter na tank la kuhifadhia mavumbi kwa mda litakapo jaa unafungua na kwenda kutupa ni nzur sana na powerful Watts 1800 #0686979377 #0757252557 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Vacuum Cleaner
1 x Sh200,000.00
Sh200,000.00
Sh200,000.00
× Uv Light Hizi unatumia kukaushia rangi za kucha gel Zinamwanga wa blue kwa ajili ya kukausha huu mwanga una kuwa na joto joto yaan warm light #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliatz UV Bloom Light
1 x Sh20,000.00
Sh20,000.00
Sh20,000.00
× ESPRESSO MACHINE hii machine unaeza tengeneza coffee na cupccino uliyochenganywa maziwa au vanilla nk ni nzur sana Brand DCG Watts 1000 Espresso Coffee Machine
1 x Sh150,000.00
Sh150,000.00
Sh150,000.00
× SENSOR LIGHT Taa zenye sensor kwa ajili ya ulizi wa nyumba yako mtu akipita inakuwa inatoa ishara fulan ya kuwa na kuzima jua kuna hatari, hii inafungwa nje kwa juu hiz taa zipo chache sana Watts 25 Sensor Light
1 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh25,000.00
× GARDEN LIGHT Taa nzur ya kuweka nje sehem ya garden yako pia unaweza weka sehem ya njia ya getin inatafanya sehem yako kuinekana vizur zaid na ni water proof Garden Light
1 x Sh23,000.00
Sh23,000.00
Sh23,000.00
× EXTRACTOR JUICER Kwa wanaopenda juice ya karoti, apple , tango nk hii ndo majibu ya utengenezaji wa juice yako safi kabisa yenye ladha nzuri ya matunda hii huweki maji hata kidogo ni nzur sana Brand sencor Watts 600 Extractor Juicer
1 x Sh90,000.00
Sh90,000.00
Sh90,000.00
× BURGER GRILL Hii ni kwa ajili ya Baga jaman, pia mkate unaweza kupasha pia hiz zipo chache zipo tatu kwa bei sawa na bure ni nzur sana. Brand Breville Watts 1000 Burger Grill
2 x Sh30,000.00
Sh30,000.00
Sh60,000.00
× COFFEE MACHINE inatengeneza kahawa nyeusi,inasaga mbegu za kahawa pia inatumia kahawa iliyosagwa tayar(unga wa kahawa) Brand BEEM Watts 820 Coffee Maker
1 x Sh45,000.00
Sh45,000.00
Sh45,000.00
× Hand Mixer Usipata tabu kutumia nguvu nyingi kuchanganya unga wa cake na mwiko tumia machine hii itakayokirahisishia kazi yako kwa haraka pia inasaidia usitumie muda mwingi zaid kwa bei nzur kabisa hiz zipo chache sana jaman kama ulikosa sasa zipo dukan Brand hoffen Watts 300 #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Hand Mixer
1 x Sh50,000.00
Sh50,000.00
Sh50,000.00
× FAST COOLER Jaman hii fast cooler ni hatar sana ina ubarid mzur sana unaweka maji ya baridi au ice cube unaiwasha inakupa ubarid mzuri kwbisa Ila hii ni ya mtu mmoja tu hasa ofisin unaitumia, kwa nyumban unaiweka pemben yako ndo inakupuliza Fast Cooler
1 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh25,000.00
Cart totals

Cart totals

Subtotal Sh733,000.00
Shipment

Shipping to Dar es Salaam.

Total Sh733,000.00