Product Price Quantity Subtotal
× PAPPER SHREDDER shredder ya kuchanachana documents au karatasi zisizo hitajika usichane karatasi kwa mikono unachafua mazingira jaman hii inakurahisishia kazi yako ya kuchana makaratasi au documents ambazo hazítakiwi kuonekana Watts 150 Bei 25,000 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road karibu na Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Paper shredder
1 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh25,000.00
× Oven Oven
1 x Sh75,000.00
Sh75,000.00
Sh75,000.00
× Vacuum Cleaner Hii inavuta mavumbi kwenye carpet, mazulia, madirisha ya wavu inafilter na tank la kuhifadhia mavumbi kwa mda litakapo jaa unafungua na kwenda kutupa ni nzur sana na powerful Watts 1800 #0686979377 #0757252557 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Vacuum Cleaner
1 x Sh200,000.00
Sh200,000.00
Sh200,000.00
× WATER PURIFIER chujio la maji, linachuja maji yasio safi kuwa maji safi kwa ajili ya kutumia kunywa Hii unatumia badala ya kuchemsha maji basi unayachuja tu kisha unakunywa maji yakiwa tayr ni masafi. Water Purifier
1 x Sh13,000.00
Sh13,000.00
Sh13,000.00
× EXTRACTOR JUICER Kwa wanaopenda juice ya karoti, apple , tango nk hii ndo majibu ya utengenezaji wa juice yako safi kabisa yenye ladha nzuri ya matunda hii huweki maji hata kidogo ni nzur sana Brand sencor Watts 600 Extractor Juicer
1 x Sh75,000.00
Sh75,000.00
Sh75,000.00
× CHEESE GRATER Hii ni mashine maalumu kabisa inayotumika kukwangua cheez,inatumia umeme NA battery ni nzur sana hii,mpya kabisa wahi ujipatie yakwako Mpya kabisaa Watts -12 Cheese Grater
1 x Sh8,000.00
Sh8,000.00
Sh8,000.00
× Microwaveoven Microwaveoven unapasha chakula chochote pia unaweza choma nyama ndizi, soup, samaki, mboga za majani na vingine vingi zaid pia ni auto cook Lita 20 Watts 800 Microwave
1 x Sh45,000.00
Sh45,000.00
Sh45,000.00
× KEYBOARD ⌨️ Led keyboards hiz kwa matumizi ya ofisin, labrary zinafaa sana ni nzur zinakuwa zinawaka taa unapoziunganisha na CPU tayr kwa matumiz Brand mad_dog Keyboard
2 x Sh5,000.00
Sh5,000.00
Sh10,000.00
× IPAD KEYBOARD Jaman usipate shide kushikilia ipad yako kwa unachoka pia unaweza iangusha bahati mbaya ila ukiweka na hii keyboard ni salama zaid na pia rahisi kutumia ipad yako zipo chache sana size ya ipad ni 9.7 wahi mapema upate yako IPAD Keyboard
1 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh25,000.00
× Electric kettle Jaman jaman majag yamekuja mazur mnooo mzigo mpya yapo aina nyingi tofauti kwa bei ile ile ya ofa, hata majag yapo mapya na used Watts 2200 Electric Kettle
1 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh25,000.00
× BURGER GRILL Hii ni kwa ajili ya Baga jaman, pia mkate unaweza kupasha pia hiz zipo chache zipo tatu kwa bei sawa na bure ni nzur sana. Brand Breville Watts 1000 Burger Grill
1 x Sh30,000.00
Sh30,000.00
Sh30,000.00
Cart totals

Cart totals

Subtotal Sh531,000.00
Shipment

Shipping to Dar es Salaam.

Total Sh531,000.00