Product Price Quantity Subtotal
× ESPRESSO MACHINE hii machine unaeza tengeneza coffee na cupccino uliyochenganywa maziwa au vanilla nk ni nzur sana Brand DCG Watts 1000 Espresso Coffee Machine
1 x Sh150,000.00
Sh150,000.00
Sh150,000.00
× KEYBOARD ⌨️ Led keyboards hiz kwa matumizi ya ofisin, labrary zinafaa sana ni nzur zinakuwa zinawaka taa unapoziunganisha na CPU tayr kwa matumiz Brand mad_dog Keyboard
2 x Sh5,000.00
Sh5,000.00
Sh10,000.00
× CHEESE GRATER Hii ni mashine maalumu kabisa inayotumika kukwangua cheez,inatumia umeme NA battery ni nzur sana hii,mpya kabisa wahi ujipatie yakwako Mpya kabisaa Watts -12 Cheese Grater
2 x Sh8,000.00
Sh8,000.00
Sh16,000.00
× EXTRACTOR JUICER Kwa wanaopenda juice ya karoti, apple , tango nk hii ndo majibu ya utengenezaji wa juice yako safi kabisa yenye ladha nzuri ya matunda hii huweki maji hata kidogo ni nzur sana Brand sencor Watts 600 Extractor Juicer
1 x Sh75,000.00
Sh75,000.00
Sh75,000.00
× Mower Grass Cutter Weka mazingira safi kwa garden yako usiachie majani yawe kichaka yataficha wdudu hatarishi kwa afya zetu hizi zipo chache sana wahi mapema upate yako kwa bei chee Zaid Brand flymo Watts 1400 Mower
2 x Sh150,000.00
Sh150,000.00
Sh300,000.00
× Electric kettle Jaman jaman majag yamekuja mazur mnooo mzigo mpya yapo aina nyingi tofauti kwa bei ile ile ya ofa, hata majag yapo mapya na used Watts 2200 Electric Kettle
2 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh50,000.00
× Food Slicer Food Slicer
2 x Sh15,000.00
Sh15,000.00
Sh30,000.00
× HAND MIXER Usipata tabu kutumia nguvu nyingi kuchanganya unga wa cake 🎂 na mwiko tumia machine hii itakayokirahisishia kazi yako kwa haraka pia inasaidia usitumie muda mwingi zaid kwa bei nzur kabisa hiz zipo chache sana jaman kama ulikosa sasa zipo dukan Brand gotze & Jensen from Germany Watts 300 handmixer
2 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh50,000.00
× ROLLER SKATE'S SHOES Viatu vya matairi hivi unaweza tembelea maeneo mbalimbali kwa barabara zilizopo karibu na ufukwe wa bahari piq zinasaidia kwa safari ndogo ndogo au mishen town vipo vichache sana, Namba ya kiatu ni 38_39 Roller Skate Shoes
1 x Sh60,000.00
Sh60,000.00
Sh60,000.00
× Coffee machine Coffee machine
1 x Sh100,000.00
Sh100,000.00
Sh100,000.00
× 3in1 handblender Je umepata hii heavy-duty blender ya mkono?jaman zimebaki chache sana kama bado wahi mapema upate yako unablend juice 🥤 kwa jug tu pia unaitumia kuchanganyia mayai, na unaweza kuchopp yaan kukata kata viungo kam karoti, kitunguu, tangawizi, nyanya, nyama nk Brand gotze jensen from Germany Watts 800 Hand blender 3in1
1 x Sh40,000.00
Sh40,000.00
Sh40,000.00
× Deep fryer Kaangaa chips, nyama, kuku, ndizi, maandazi na hii deep fryer inatumia mafuta, hii inakurahisishia kazi za jikon na pia kuokoa mda wa kukaa jikon Brand George home Watts 1800 #0686979377 #0757252557 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaaliaTzq Deep Fryers
1 x Sh50,000.00
Sh50,000.00
Sh50,000.00
× FAST COOLER Jaman hii fast cooler ni hatar sana ina ubarid mzur sana unaweka maji ya baridi au ice cube unaiwasha inakupa ubarid mzuri kwbisa Ila hii ni ya mtu mmoja tu hasa ofisin unaitumia, kwa nyumban unaiweka pemben yako ndo inakupuliza Fast Cooler
1 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh25,000.00
× Grinder Hii inasaga mbegu za kahawa pia inaweza saga vitu vikavu kama karanga mbegu za maboga Michele.nk Ni nzuri na imara sana Brand; Hoffen from Germany Watts 170 Grinder
1 x Sh20,000.00
Sh20,000.00
Sh20,000.00
× Dehydrator Unawezakaushia vyakula na matunda mbalimbali kwa haraka Zaid inatumia umeme Brand cosori from Germany Watts 500 Food Dehydrator
1 x Sh120,000.00
Sh120,000.00
Sh120,000.00
Cart totals

Cart totals

Subtotal Sh1,096,000.00
Shipment

Shipping to Dar es Salaam.

Total Sh1,096,000.00