Product Price Quantity Subtotal
× SANDWICH MAKRE 🥪 Tengeneza chakula ikipendacho kwa ajili ya nyumban na familia kwa bei cheeee kabisa hiz unachanganya mayai, saladi na vingi unavyopenda kuweka kwenye sandwich Brand hoffen from Germany Watts 750 Sandwitch Maker
2 x Sh10,000.00
Sh10,000.00
Sh20,000.00
× Oven Oven
1 x Sh75,000.00
Sh75,000.00
Sh75,000.00
× Microwaveoven Microwaveoven unapasha chakula chochote pia unaweza choma nyama ndizi, soup, samaki, mboga za majani na vingine vingi zaid pia ni auto cook Lita 20 Watts 800 Microwave
1 x Sh45,000.00
Sh45,000.00
Sh45,000.00
× Meal Maker/Red Copper Meal Maker/Red Copper
2 x Sh10,000.00
Sh10,000.00
Sh20,000.00
× SEWING MACHINE Machine ndogo ya kushona nguo, ni kwa matumizi ya nyumban tu jaman usitembee na nguo iliyochanika, shona nguo yako mwenyewe kumbukeni kuna nguo zingine haziendi kwa fundi zile nguo za ndani kwaiyo ukipata machine kama hii itakisaidia kuzitengeneza nguo zako Hata kiraka unaweka tu Inatumia adapter na kikanyagio kimoja #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliatz Sewing Machine
1 x Sh110,000.00
Sh110,000.00
Sh110,000.00
× Slow Cookers Slowly cooking hii kama hauna haraka ya kupika ni nzur sana unabandika chakula chako kinaiva taratibu, unweza bandika chakula na kuondoka kwenda kazin ukirud unakuta kipo tayr ni kula tu Watts 230 #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliatz Slow Cookers
1 x Sh80,000.00
Sh80,000.00
Sh80,000.00
× PAPPER SHREDDER shredder ya kuchanachana documents au karatasi zisizo hitajika usichane karatasi kwa mikono unachafua mazingira jaman hii inakurahisishia kazi yako ya kuchana makaratasi au documents ambazo hazítakiwi kuonekana Watts 150 Bei 25,000 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road karibu na Nakiete pharmacy #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Paper shredder
1 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh25,000.00
× Hair roll Weka nywele zako katika muonekano tofauti na hair roll zetu, unaviringisha nywele inatoka na mawimbi wa kipekee kabisa yaan kama kamviringisho fulan hii unaipata kwa bei poa kabisa Hair Roll
1 x Sh15,000.00
Sh15,000.00
Sh15,000.00
× Electric kettle Jaman jaman majag yamekuja mazur mnooo mzigo mpya yapo aina nyingi tofauti kwa bei ile ile ya ofa, hata majag yapo mapya na used Watts 2200 Electric Kettle
2 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh50,000.00
× Stainless Steel flowers vessel Vessel za maua pendezesha nyumba yako kwa kuweka maua yako hapo kitu amazing kabisa hiz zinauzwa kwa mbili kama zilivyo hapo na zipo hiz tu wahi uwe wa kwanza kuzipata Stainless Steel Flowers Vessel
1 x Sh40,000.00
Sh40,000.00
Sh40,000.00
× COFFEE MACHINE inatengeneza kahawa nyeusi,inasaga mbegu za kahawa pia inatumia kahawa iliyosagwa tayar(unga wa kahawa) Brand BEEM Watts 820 Coffee Maker
1 x Sh45,000.00
Sh45,000.00
Sh45,000.00
× SENSOR LIGHT Taa zenye sensor kwa ajili ya ulizi wa nyumba yako mtu akipita inakuwa inatoa ishara fulan ya kuwa na kuzima jua kuna hatari, hii inafungwa nje kwa juu hiz taa zipo chache sana Watts 25 Sensor Light
2 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh50,000.00
× top and skirt affordable clothes Top & Skirt
1 x Sh5,000.00
Sh5,000.00
Sh5,000.00
× Zipo zinazofanya kazi sikio moja 10,000 Zipo zinazofanya kazi sikio mbili 25,000 Headphones
1 x Sh10,000.00
Sh10,000.00
Sh10,000.00
× Uv Light Hizi unatumia kukaushia rangi za kucha gel Zinamwanga wa blue kwa ajili ya kukausha huu mwanga una kuwa na joto joto yaan warm light #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliatz UV Bloom Light
1 x Sh20,000.00
Sh20,000.00
Sh20,000.00
× Scooter Hii unaendesha sehem yoyote inayofaa na ni salama kwa mtoto,hii brake yake ni ya nyuma unakanyaga kwa mguu tu! Inabeba maximum kg 50 #0686979377 #0757252557 #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afroboel #afrotaliaTz Scooter
1 x Sh50,000.00
Sh50,000.00
Sh50,000.00
× FAST COOLER Jaman hii fast cooler ni hatar sana ina ubarid mzur sana unaweka maji ya baridi au ice cube unaiwasha inakupa ubarid mzuri kwbisa Ila hii ni ya mtu mmoja tu hasa ofisin unaitumia, kwa nyumban unaiweka pemben yako ndo inakupuliza Fast Cooler
1 x Sh25,000.00
Sh25,000.00
Sh25,000.00
× Grinder Hii inasaga mbegu za kahawa pia inaweza saga vitu vikavu kama karanga mbegu za maboga Michele.nk Ni nzuri na imara sana Brand; Hoffen from Germany Watts 170 Grinder
1 x Sh20,000.00
Sh20,000.00
Sh20,000.00
× Vacuum Cleaner Hii inavuta mavumbi kwenye carpet, mazulia, madirisha ya wavu inafilter na tank la kuhifadhia mavumbi kwa mda litakapo jaa unafungua na kwenda kutupa ni nzur sana na powerful Watts 1800 #0686979377 #0757252557 Tupo Mikochen B Mwai Kibaki Road pembeni ya Nakiete pharmacy #afrotalia #afrotalia_international #stockTanzania #afrotaliaTz Vacuum Cleaner
1 x Sh200,000.00
Sh200,000.00
Sh200,000.00
× EXTRACTOR JUICER Kwa wanaopenda juice ya karoti, apple , tango nk hii ndo majibu ya utengenezaji wa juice yako safi kabisa yenye ladha nzuri ya matunda hii huweki maji hata kidogo ni nzur sana Brand sencor Watts 600 Extractor Juicer
1 x Sh75,000.00
Sh75,000.00
Sh75,000.00
× WATER PURIFIER chujio la maji, linachuja maji yasio safi kuwa maji safi kwa ajili ya kutumia kunywa Hii unatumia badala ya kuchemsha maji basi unayachuja tu kisha unakunywa maji yakiwa tayr ni masafi. Water Purifier
1 x Sh13,000.00
Sh13,000.00
Sh13,000.00
Cart totals

Cart totals

Subtotal Sh993,000.00
Shipment

Shipping to Dar es Salaam.

Total Sh993,000.00